Kikraol ni lugha ya Kiaustro-Asiatiki nchini Kamboja inayozungumzwa na Wakraol. Mwaka wa 2008 idadi ya wasemaji wa Kikraol imehesabiwa kuwa watu 6220. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kikraol iko katika kundi la Kibahnariki.

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kikraol kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.