Kilambadi ni lugha ya Kihindi-Kiulaya nchini Uhindi inayozungumzwa na Walambadi. Mwaka wa 2001 idadi ya wasemaji wa Kilambadi imehesabiwa kuwa watu 4,150,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kilambadi iko katika kundi la Kiaryan.

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kilambadi kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.