Kingandi ni lugha ya Kigunwinyguan nchini Australia inayozungumzwa na Wangandi katika jimbo la Northern Territory. Katika sensa ya mwaka 2006, idadi ya wasemaji wa Kingandi ilihesabiwa kuwa watu tisa tu, yaani lugha iko hatarini mwa kutoweka. Mwaka wa 2017, msemaji mzee wa mwisho wa kuweza kutumia Kingandi kihodari akaanza kuwafundisha Wangandi wa vizazi vya kisasa. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kingandi kiko katika kundi la Kiarnhem cha Mashariki pamoja na Kinunggubuyu na Kianindilyakwa.

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kingandi kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.