Katika utarakilishi na katika kiolesura michoro cha mtumiaji, kifaa michoro au kipengee michoro ya kidhibiti (kwa Kiingereza: graphical widget au graphical control element) ni kipengee cha maingiliano, kama kitufe au mwambaa biringizi. Kifaa michoro ni kijenzi cha programu kinachotumika ili kuingilia tarakilishi.

Orodha ya vifaa michoro vyote vya programu inaitwa GTK+ toleo 2

Marejeo hariri

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).
  Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.