Katika utarakilishi, kitufe (kwa Kiingereza: button, command button au push button) ni kifaa michoro kinachoruhusu mtumiaji kuanzisha tukio fulani kama kunakili na kubandika au kufunga dirisha.

Aina mbalimbali ya vitufe katika programu inaitwa Gimp.

Marejeo hariri

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).
  Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.