5°02′19″S 39°39′43″E / 5.0385975°S 39.6619686°E / -5.0385975; 39.6619686


Fundo ni kati ya visiwa vya mkoa wa Pemba Kaskazini, Zanzibar, nchini Tanzania, ambacho kinapatikana katika Bahari ya Hindi.

Ni kisiwa chenye urefu wa kilomita zaidi ya 9 na upana wa takriban kilomita 1 kinachotazama Wete kwenye kisiwa kikuu cha Pemba.

Kuna wakazi wapatao 4,095 wanaokalia kata ya Fundo[1].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu maeneo ya Pemba bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kisiwa cha Fundo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.