Katika utarakilishi, kitenganishi (kwa Kiingereza: delimiter) ni herufi moja inayotumika kutenga elementi mbili katika faili CSV. Kwa mfano, alama ya mkato ni kitenganishi.

Sehemu ya faili CSV kwenye vitenganishi.

Marejeo hariri

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).
  Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.