Lillian Moller Gilbreth

Lillian Evelyn Moller Gilbreth (24 Mei 1878 - 2 Januari 1972) alikuwa mwanasaikolojia wa Marekani, mhandisi wa viwanda, mshauri na mwalimu ambaye alikuwa mwanzilishi wa kutumia saikolojia kwa masomo ya muda na mwendo.

Lillian Moller Gilbreth

Alifafanuliwa katika miaka ya 1940 kama "mtaalamu katika sanaa ya kuishi." Gilbreth, mmoja wa wahandisi mwanamke wa kwanza kupata Shahada ya Uzamivu.

Anahesabiwa kuwa ndiye mwanasaikolojia wa kwanza wa viwanda . Yeye na mumewe, Frank Bunker Gilbreth, walikuwa wataalam wa ufanisi ambao walichangia utafiti wa uhandisi wa viwanda, hasa katika maeneo ya utafiti wa mwendo na mambo ya binadamu.

Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Lillian Moller Gilbreth kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.