Luebo

eneo, mji mkuu wa eneo la mkoa wa Kasaï katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

Luebo ni mji ulio makao makuu ya mkoa wa Kasai, katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (zamani ilijulikana kama Zaire).

Makadirio ya idadi ya watu ni 40,115 (2009[1]).

Tazama pia hariri

Marejeo hariri

  1. "Congo (Dem. Rep.): largest cities and towns and statistics of their population". World Gazetteer. Archived from the original on May 22, 2011. Retrieved January 21, 2009.

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu maeneo ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Luebo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.