Rekodi kuu za umma

Hapa panaonyeshwa kumbukumbu zote za Wikipedia kwa pamoja. Unaweza kuona baadhi yao tu kwa kuchagua aina fulani ya kumbukumbu, jina la mtumiaji fulani (zingatia herufi kubwa na ndogo), au jina la ukurasa fulani (zingatia herufi kubwa na ndogo).

Kumbukumbu
  • 12:19, 10 Juni 2023 Erick J. Budeba majadiliano michango created page Omar Bendriss (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Omar Bendriss''' ni mwanasoka wa Moroko. Kwa sasa Bendriss anaitumikia klabu ya ''FAR Rabat'', akicheza nafasi yake kama beki. Bendriss alizaliwa tarehe 25 Mei mwaka 1984. Bendriss alichezea timu ya taifa ya Moroko ya vijana chini ya umri wa miaka 20 katika Mashindano ya Vijana ya Afrika mnamo mwaka 2003. <ref>{{cite web|publisher=Le Matin|title=Championnat d'Afrique 2003 : l'équipe nationale en stage à Salé|url=http://www.lematin.ma/Act...')
  • 10:51, 10 Juni 2023 Erick J. Budeba majadiliano michango created page Julius Adaramola (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Julius Adaramola''' ni mwanasoka wa Nigeria ambaye anachezea Råde IL. Hapo awali Adaramola alichezea klabu ya ''Olimpia Bălți'' na ''Fredrikstad FK''. Adaramola alizaliwa tarehe 4 Aprili 1990. == Kazi == Katika msimu wa 2010-2011, alicheza michezo yote minne ya kufuzu katika mashindano ya ligi ya UEFA Europa akiwa katika klabu ya ''Olimpia'' na kufunga bao moja, na kwa hivyo ndiye mchezaji aliyefunga mabao mengi zaidi kwa kulinganisha na wen...')
  • 10:06, 10 Juni 2023 Erick J. Budeba majadiliano michango created page Ishaq Abdulrazak (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Ishaq Abdulrazak''' ni mwanasoka wa kulipwa kutoka Nigeria ambaye anacheza kama kiungo wa kati wa klabu ya ''Anderlecht'' ya nchini Ubelgiji. Ishaq alizaliwa tarehe 5 Mei 2002. == Kazi == Mnamo tarehe 20 Juni 2022, Abdulrazak aliondoka katika klabu yale ya awali, ''IFK Norrköping'' na kujiunga na klabu ya ''Anderlecht'' ya ligi kuu daraja la Kwanza ya Ubelgiji kwa mkataba wa miaka minne. <ref>{{cite web|url=https://www.rsca.be/en/ishaq|tit...')
  • 09:49, 10 Juni 2023 Erick J. Budeba majadiliano michango created page Suleiman Abdullahi (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Suleiman Abdullahi''' ni mwanasoka wa kulipwa kutoka Nigeria ambaye anacheza kama mshambuliaji katika klabu ya ''Allsvenskan IFK Göteborg''. Suleiman Abdullahi alizaliwa tarehe 10 Disemba 1996 huko Kaduna, Nigeria. == Kazi == Abdullahi alijiunga na klabu ya ''Viking FK'' mnamo mwaka wa 2015. Mnamo Juni 2016, Abdullahi alihamia klabu ya ''Eintracht Braunschweig'' katika ligi ya Ujerumani, Bundesliga kwa mkataba wa miaka minne. Katika m...')
  • 09:05, 10 Juni 2023 Erick J. Budeba majadiliano michango created page Andile Fikizolo (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Andile Eugene Fikizolo''' almaarufu kama Carot, alizaliwa tarehe 13 Mei 1994. Andile Eugene Fikizolo ni mcheza soka wa Afrika kusini anayecheza katika timu ya ''Golden Arrows'' iliyopo katika ligi kuu ya soka nchini Afrika kusini. Katika timu hiyo anacheza kama kiungo wa kati na pia kama winga wa kulia.<ref>{{cite web|url=http://www.kickoff.com/news/45211/supersport-united-midfielder-andile-fikizolo-wants-to-score-...')
  • 09:29, 27 Mei 2023 Erick J. Budeba majadiliano michango created page Mtumiaji:Erick J. Budeba (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Saskia Luutsche Ozinga''' (amezaliwa 1960 huko Beverwijk) <ref>[http://alexandria.tue.nl/repository/books/675450.pdf Small bio] (page 14)</ref> ni mwanaharakati wa mazingira na kijamii kutoka Uholanzi. Yeye ndiye mwezeshaji wa Forest Movement Europe (FME) na mwanzilishi mwenza wa shirika lisilo la kiserikali la FERN, ambapo alikuwa mratibu wa kampeni, kati ya mwaka 1995 na 2017. <ref>FERN site - [https://www.fern.org/who-we-are/team/saskia-ozinga/]</ref...')
  • 12:49, 23 Mei 2023 Erick J. Budeba majadiliano michango created page Sue Barrell (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Sue Barrell''' AO FTSE alikuwa Mwanasayansi Mkuu katika Ofisi ya Hali ya Hewa (BoM). Mnamo 2013 alitunukiwa taji ya Mshirika wa Chuo cha Teknolojia na Uhandisi (FTSE).<ref name=":1">{{Cite web |url=https://public.wmo.int/en/resources/bulletin/women-meteorology |title=Women in Meteorology |date=2015-11-11 |website=World Meteorological Organization |language=en |access-date=2019-08-16}}</ref> Mnamo 2018, Barrell alichaguliwa kuwa Makamu wa Rais wa S...')
  • 14:31, 21 Mei 2023 Erick J. Budeba majadiliano michango created page Kathy Jetñil-Kijiner (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Kathy Jetn̄il-Kijiner''' ni mshairi na mwanaharakati wa mabadiliko ya tabia ya nchi kutoka Visiwa vya Marshall. == '''Maisha ya zamani''' == Jetn̄il-Kijiner alizaliwa katika Visiwa vya Marshall na kukulia Hawaii.<ref name=":0">{{Cite news|url=https://www.earthcompany.info/kathy/|title=Earth Company Impact Hero 2017: Kathy Jetñil-Kijiner|work=Earth Company|access-date=9 November 2017|language=en-US|archive-date=9 November 2017|archi...')
  • 12:02, 5 Novemba 2022 Akaunti ya mtumiaji Erick J. Budeba majadiliano michango iliundwa Tags: Hariri ya simu Hariri ya wavuti ya rununu