Mpwa : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Mpwa''' ni jina ambalo mwanamume anamuita mtoto wa dada yake. Upande wa pili, mpwa anamuita mwanamume huyo "mjomba". Ukilinganisha na...'
 
No edit summary
Mstari 1:
'''Mpwa''' ni [[jina]] ambalo [[mwanamume]] anamuita [[mtoto]] (wa kiume au [[Mwanamke|wa kike]]) wa [[dada]] yake.
 
Upande wa pili, mpwa anamuita mwanamume huyo "[[mjomba]]".
Mstari 5:
Ukilinganisha na [[lugha]] za [[Ulaya]], zile [[Lugha za Kibantu|za Kibantu]] zinazingatia zaidi [[umri]] na hasa [[jinsia]] za [[wazazi]] na [[ndugu]] zao. Hivyo, kwa [[Kiingereza]] "nephew" linaweza kumaanisha "mpwa" lakini pia "mtoto" (ikiwa anayesema ni wa jinsia ileile ya mzazi).
 
VilevileTena nenoanaietwa lakwa Kiingereza "uncle" anaweza akaitwa katika [[Kiswahili]] "mjomba", "baba mkubwa" (kama ni [[kaka]] wa [[baba]]) au "baba mdogo" (kama ni mdogo wa baba). Vilevile neno "aunt" linaweza kumaanisha "[[shangazi]]" (dada wa baba), "mama mkubwa" (kama ni mkubwa wa mama) au "mama mdogo" (kama ni mdogo wa mama).
 
[[Wajibu]] na [[haki]] kati ya mpwa na mjomba wake vinategemea [[utamaduni]] wa mahali. Katika baadhi ya [[Kabila|makabila]], kama yale yanayotia maanani [[ukoo]] wa [[mama]] kuliko ule wa baba, mjomba ni muhimu kuliko baba mzazi.
 
{{mbegu-utamaduni}}
 
[[Jamii:Familia]]