Safu ya milima : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Kuanzisha ukurasa |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 19:24, 28 Aprili 2018
Safu ya milima ni msururu wa milima iliyokaribiana[1]. Milima hiyo hutenganishwa na nyanda za juu au mabonde.
Mifano ya safu za milima ni kama vile, Safu ya Aberdare, Milima Atlas, Alpi na Himalaya. Safu nyingi za milima duniani zilitengenezwa kama milima kunjamano.
Marejeo
- ↑ "Mountains Information and Facts". Iliwekwa mnamo 2018-04-28. Text "National Geographic" ignored (help)
Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.
|