Meza (kundinyota) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Protected "Meza (kundinyota)" ([Kuhariri=Zuia watumiaji wapya au wale ambao hawajajisajilisha] (bila mwisho) [Kuhamisha=Zuia watumiaji wapya au wale ambao hawajajisajilisha] (bila mwisho)) |
No edit summary |
||
Mstari 11:
Lacaille alikaa miaka miwili kwenye [[Rasi ya Tumaini Jema]] (Afrika Kusini) alipokuwa akitazama nyota za angakusi ambazo wakati ule zilianza tu kujulikana kati ya wanaastronomia wa Ulaya. Alipima nyota 10,000 akazipanga katika makundinyota na kutunga majina kwa makundinyota mapya 14<ref>[http://gallica.bnf.fr//ark:/12148/bpt6k35505/f786.vertical Histoire de l'Académie royale des sciences ]; taarifa ya Lacaille katika "Historia ya Akademia ya Kifalme ya sayansi", uk. 589, Tovuti ya Bibliothèque nationale de France (BnF), iliangaliwa Julai 2017</ref>.
Meza
==Nyota==
|