Pembe za ndovu ni meno yalioendelea na kuongezeka mbele na mara nyingi hupatikana zaidi katika vinywa vya mamalia, hasa tembo, lakini pia kifaru n.k.[1][2]

Tembo nchini Tanzania.

Bei ya pembe hizo ni kubwa hivi kwamba imechangia sana kufanya watu wajiingize katika ujangili na hatimaye kupunguza vibaya idadi ya wanyama hao, pengine kiasi cha kuhatarisha spishi nzima. Ndiyo sababu biashara ya pembe hizo imebanwa sana na Umoja wa Mataifa na nchi mbalimbali.

Picha hariri

Tanbihi hariri

  1. "Tusk". The Oxford English Dictionary. 2010. 
  2. Konjević, Dean; Kierdorf, Uwe; Manojlović, Luka; Severin, Krešimir; Janicki, Zdravko; Slavica, Alen; Reindl, Branimir; Pivac, Igor (4 April 2006). "The spectrum of tusk pathology in wild boar (Sus scrofa L.) from Croatia". Veterinarski Arhiv. 76 (suppl.) (S91–S100). Iliwekwa mnamo 9 January 2011.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Pembe za ndovu kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.