Majadiliano
Majadiliano (kutoka kitenzi chenye asili ya Kiarabu "kujadili") ni kitendo cha kupeana mawazo chanya baina ya watu wawili au zaidi. Kwa mfano: majadiliano kuhusu maisha.
Mara nyingi majadiliano hufanywa kwenye kikundi cha watu wawili au zaidi ili kutatua jambo au kuongeza ujuzi wa jambo fulani.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |