Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!

Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.

Ukipenda kutumia kurasa zetu za mwongozo na msaada, a) ukitumia simu bofya kwa "Dawati" chini kwenye dirisha lako na n) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "Switch to old look" kwenye menyu upande wa kushoto.

Kwa mawili matatu labda tazama:

Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia ukurasa wako kwa majaribio. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye ukurasa wako wa mtumiaji. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.

Ujue miiko:

Tunakushauri pia kuandikisha email yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!


Welcome to Kiswahili Wikipedia!

We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to this site. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at Wikipedia:Wakabidhi. And, please:

  • do not post computer translated texts (like Google Translate, Content Translation, etc. all do not work for Swahili)
  • nor copied texts/images from other webs to this site!
  • do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.

As a newcomer we advise that you register your email. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.

St. Ireneus has not yet been declared Church Doctor; may be this year. Peace to you! --Riccardo Riccioni (majadiliano) 05:11, 22 Januari 2022 (UTC)Reply
@Riccardo Riccioni: Ciao, ti rispondo in italiano, visto che siamo italiani entrambi. Ho visto che hai annullato la mia modifica su Sant'Ireneo e ti vorrei fare notare che proprio quel giorno era stato pubblicato il decreto ufficiale con cui papa Francesco proclamava Sant'Ireneo come Dottore della Chiesa. Infatti, se tu noti, nelle versioni in altre lingue di Wikipedia proprio il 21 gennaio era stato aggiunto Sant'Ireneo di Lione nell'elenco dei dottori della Chiesa. Inoltre vorrei ricordarti che per proclamare un dottore della Chiesa non è obbligatoria una celebrazione solenne, ma è sufficiente una dichiarazione ufficiale (anche scritta) del Pontefice. Perciò la mia modifica si basava su qualcosa avvenuto in quel giorno e non che avverrà in futuro. Cordiali saluti.----Andciao (majadiliano) 16:43, 23 Januari 2022 (UTC)Reply
Grazie del tuo contributo, anche se poi l'ho cancellato temporaneamente, e soprattutto grazie per seguire e far conoscere queste cose di Chiesa. Quanto alla mia decisione, mi sono basato su

[1]. Se è errata, sono prontissimo a ripristinare il tuo testo, anche perché io ero da sempre sostenitore che Ireneo fosse il più titolato ad essere proclamato dottore. Tra parentesi, dal 1997 non sono più italiano. Pace a te! --Riccardo Riccioni (majadiliano) 06:56, 24 Januari 2022 (UTC)Reply

Il giorno dopo, Papa Francesco lo ha proclamato! Alleluia! --Riccardo Riccioni (majadiliano) 07:01, 24 Januari 2022 (UTC)Reply