Malmo (au Malmö) ni mji mkubwa wa tatu nchini Uswidi wenye wakazi 265,000.

Malmö (nyuma: Kopenhagen)
Turning Torso, Malmö

Iko upande wa kusini wa nchi kando ya mlango wa bahari ya Oresund ikitazama Kopenhagen upande wa Denmark. Miji yote miwili imeunganishwa na daraja la Oresund.

Malmo ni mji mkuu wa jimbo la Skåne.

Matukio hariri

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii kuhusu maeneo ya Uswidi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Malmö kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.