Marwa Khmiri ni mchezaji wa mpira wa miguu nchini Tunisia. Anacheza kama beki wa Klabu ya ASF Sahel pamoja na timu ya taifa ya wanawake ya Tunisia.[1]

Marejeo hariri

  1. Duret, Sébastien. "Equipe de France A' - France-Tunisie 2-1", 25 June 2009. Retrieved on 12 August 2021. (fr) 
  Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Marwa Khmiri kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.