Marwa Tbini ni mchezaji wa mpira wa miguu nchini Tunisia. Anacheza kama beki wa Klabu ya ASF Sahel fc pamoja na timu ya taifa ya wanawake ya Tunisia.[1]

Marejeo hariri

  1. "Mashindano - AWC 2014 Qualifiers (2014) - Mechi na Maelezo", 8 June 2014. Retrieved on 14 August 2021. 
  Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Marwa Tbini kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.