Mashewa ni kata ya Wilaya ya Korogwe Vijijini katika Mkoa wa Tanga, Tanzania.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 10,366 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 11,938 waishio humo.

Vijiji karibu ya Mashewa ni Kibaoni, Kumba, Kijungu Moto, Mshihwi, Mtoni Bombo, Daluni, Bombo Majimoto, Kulasi, Magoma n.k.

Wazee maarufu wa Mashewa walikuwa Salim Mwarabu (1932-2001), Salim Msambaa, Ahmed Hilal (Mkoloni), Vicent Mussa, Mwalim Sharifu, Adballah Shekalage, Salim Ahmed Kontrol, Mohammed Said, Mohamed Hemed Jokha, Mzee Mwambura na wengineo.

Marejeo hariri

  Kata za Wilaya ya Korogwe Vijijini - Mkoa wa Tanga - Tanzania  

Bungu | Chekelei | Dindira | Foroforo | Hale | Kalalani | Kerenge | Kizara | Kwagunda | Kwashemshi | Lewa | Lutindi | Magamba Kwalukonge | Magila Gereza | Magoma | Makumba | Makuyuni | Mashewa | Mazinde | Mgwashi | Mkalamo | Mkomazi | Mkumbara | Mlungui | Mnyuzi | Mombo | Mpale | Mswaha | Vugiri

  Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Tanga bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mashewa kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.