Mbugani (maana)

ukarasa wa maana wa Wikimedia

Mbuga ni eneo lenye mazingira ya uoto wa manyasi au lililo karibu na mbuga kwa maana ya hifadhi ya wanyama au mazingira asilia kama mbuga ya wanyama.

Kwa hiyo "Mbugani" pamoja na "Mbuga" inatumika kama jina la vijiji, vitongoji au kata mbalimbali, kwa mfano hizi nchini Tanzania:

Ukurasa huu una maelezo ya maana ili kutofautisha nia mbalimbali zinazolengwa na neno moja. Kwa usaidizi kuhusu makala za aina hii tazama Msaada:Maana

Maelezo katika ukurasa huu yawe mafupi, na kwa kila maana kuwe na kiungo kimoja tu ambacho kiunge ukurasa kuhusu nia yenye maana hii. Ukiwa umefika hapa kwa kutumia kiungo katika makala nyingine, tafadhali badalisha kiungo kile kiunge makala iliyokusudiwa moja kwa moja.