Metrofane wa Bizanti

Metrofane wa Bizanti (alifariki 326) alikuwa askofu wa Bizanti, baadaye Konstantinopoli, leo Istanbul nchini Uturuki, kuanzia mwaka 306 hadi 314 [1].

Metrofane wa Bizanti

Anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi tangu kale kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 4 Juni[2].

Tazama piaEdit

TanbihiEdit

Viungo vya njeEdit

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.