Mfiwi
(Phaseolus lunatus)
Mfiwi
Mfiwi
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Plantae (mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Eudicots (Mimea ambayo mche wao una majani mawili)
(bila tabaka): Rosids (Mimea kama mwaridi)
Oda: Fabales (Mimea kama mharagwe)
Familia: Fabaceae (Mimea iliyo na mnasaba na mharagwe)
Jenasi: Phaseolus
Spishi: P. lunatus
L.

Mfiwi (Phaseolus lunatus) ni jina la mmea katika familia Fabaceae. Mbegu zake huitwa fiwi. Asili ya mfiwi ni milima ya Andes na Amerika ya Kati. Siku hizi mimea hii hukuzwa mahali pengi katika maeneo yaliyo na joto wastani.

Picha hariri