Centro Sur
(Elekezwa kutoka Mkoa wa Centro Sur)
Centro Sur (Kihispania kwa "Kusini-Kati") ni mkoa wa Guinea ya Ikweta. Mji mkuu wake ni Evinayong.
Centro Sur | |
Nchi | Equatorial Guinea |
---|---|
Makao makuu | Evinayong |
Eneo | |
- Jumla | 9,931 km² |
Idadi ya wakazi (2015[1]) | |
- Wakazi kwa ujumla | 141,903 |
Mkoa huu ni sehemu ya kanda la Rio Muni lililopo kwenye bara la Afrika.
Centro Sur inapakana na Mkoa wa Estuaire wa Gabon upande wa kusini-magharibi na Mkoa wa Woleu-Ntem upande wa kusini-mashariki, halafu Mkoa wa Kusini wa Kamerun upande wa kaskazini. Ndani ya nchi, inapakana na Kié-Ntem kwenye kaskazini-mashariki, Wele-Nzas kwenye kusini-mashariki, na Litoral upande wa magharibi.
Centro Sur ina miji mitatu kuu: Akurenam, Niefang na Evinayong.
Marejeo hariri
- ↑ "Censo de población 2015–República de Guinea Ecuatorial" (kwa Kihispania). INEGE. uk. 7. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 8 October 2017. Iliwekwa mnamo 8 October 2017. Unknown parameter
|url-status=
ignored (help); More than one of|archiveurl=
na|archive-url=
specified (help); More than one of|archivedate=
na|archive-date=
specified (help); Check date values in:|archivedate=, |accessdate=
(help)