Mohamed Seif Edine Amroune ( Kwa Kiarabu:[1] محمد سيف الدين عمرون; alizaliwa 25 Mei 1983, huko Constantine) ni mchezaji wa kandanda wa Algeria.

Kazi Yake Katika Klabu hariri

Mnamo Mwaka 2003, Amroune alianza kazi yake akiwa na klabu ya nyumbani ya CS Constantine.[2] Mnamo 2005, alijiunga na klabu ya CR Belouizdad.[3]

RAEC Mons

Mnamo Julai 2007, Amroune alianza majaribio na klabu ya Ubelgiji S.V. Zulte Waregem.Hata hivyo Amroune, siku mbili baadaye, alisaini mkataba wa miaka minne na klabu nyingine ya Ubelgiji, R.A.E.C. Mons.

Kazi Yake Kitaifa hariri

Mnamo Machi 24, 2007, Amroune alicheza mechi yake ya kwanza kwa Timu ya Taifa ya Algeria katika mechi ya kufuzu kwa Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2008 dhidi ya timu ya taifa ya Cape Verde. Amroune alianza mchezo akiwa benchi na kuchukua nafasi ya Hameur Bouazza dakika ya 88 huku Algeria ikiibuka mshindi wa magoli 2-0.[4]

Marejeo hariri

  1. "محمد سيف الدين عمرون - كورة". kora.com. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2021-06-18. Iliwekwa mnamo 2021-06-18.  More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help)
  2. "Transferts : Amroune à l'essai à Zulte-Waregem". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2012-09-23. Iliwekwa mnamo 2011-05-13.  Unknown parameter |url-status= ignored (help)
  3. Amroune signe au RAEC Mons
  4. "Algérie 2-0 Cap-Vert". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2010-11-26. Iliwekwa mnamo 2011-05-13.  Unknown parameter |url-status= ignored (help)

Viungo Vya Nje hariri

  Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mohamed Amroune kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.