Mpira
(Hevea brasiliensis)
Kiunga cha mipira
Kiunga cha mipira
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Plantae (Mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Eudicots (Mimea ambayo mche wao una majani mawili)
(bila tabaka): Rosids (Mimea kama mwaridi)
Oda: Malpighiales (Mimea kama mwenda-usiku)
Familia: Euphorbiaceae (Mimea iliyo na mnasaba na mtongotongo)
Nusufamilia: Crotonoideae (Mimea iliya na mnasaba na mlalai)
Kabila: Micrandreae (Mimea inayofanana na mpira)
Jenasi: Hevea
Spishi: Hevea brasiliensis
Müll.Arg.

Mpira ni spishi ya mti (Hevea brasiliensis) katika familia Euphorbiaceae. Utomvu wake huvunwa ili kutengeneza dutu kinamo inayoitwa mpira pia. Jina “mpira” hutumika pia kwa miti ingine kama Landolphia kirkii, Saba comorensis, Manihot glaziovii, Sonneratia alba na S. caseolaris.

Picha hariri