Mto Bubu ni jina la mito minne ya mkoa wa Dodoma (Tanzania ya kati).

Beseni la ziwa Sulunga (kijani).

Mitatu inaelekeza maji yake kwenye bahari ya Hindi kupitia mto Rufiji.

Mwingine hauelekei bahari wala ziwa lolote la kudumu, ila unaunda madimbwi mengi ya kinamasi cha Bahi (ziwa Sulunga).

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri