Murcia ni mji wa Hispania, makao makuu ya jumuia ya kujitegemea ya Murcia.

Ngome ya Monteagudo, Murcia.

Tarehe 1 Januari 2019 wakazi wake walikuwa 447,182, ukiwa wa saba nchini kwa wingi wa watu.

Tazama pia

hariri

Tanbihi

hariri

Viungo vya nje

hariri
 
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:

  Murcia travel guide kutoka Wikisafiri

  Makala hii kuhusu maeneo ya Hispania bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Murcia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.