Mussa Ramadhani Sima

Mussa Ramadhani Sima (amezaliwa tar. 6 Julai 1976) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Singida Mjini kwa mwaka 20152020. [1]Ameteuliwa mwaka 2018 kuwa Naibu Waziri katika serikali ya awamu ya Tano.

Marejeo hariri

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Juni 2017