Nacer Abdellah (alizaliwa 3 Machi 1966 huko Sidi Slimane) ni mwanasoka aliyestaafu kutoka nchini Moroko. Abdellah alianza soka lake nchini Ubelgiji akiwa na klabu iitwayo KV Mechelen, na alicheza muda mwingi wa maisha yake ya soka katika timu za Ubelgiji. Pia aliichezea Moroko mechi 24, na alicheza kwenye Kombe la Dunia la FIFA la 1994 katika mechi dhidi ya Ubelgiji na Saudi Arabia.

Kabla ya Kombe la Dunia la 1994 nchini Marekani, kauli ya "Nacer Abdellah" ilileta utata. Abdellah alisema kuwa mchezaji mwenzake wa zamani katika Cercle Brugge, Mbelgiji Josip Weber asingeweza kufunga wakati wa mashindano hayo.

Marejeo hariri

  Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Nacer Abdellah kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.