Nduli
Nduli ilikuwa kata ya Wilaya ya Iringa Vijijini katika Mkoa wa Iringa, Tanzania.
Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 8,045 waishio humo. [1]
Siku hizi barabara inayounganisha Iringa na Dodoma, hivyo pia Cape Town na Kairo, na ambayo ilikuwa imetiwa lami mpaka kijijini Nduli kwa ajili ya kiwanja cha ndege, sana inaendelea na lami kuelekea kaskazini.
Marejeo hariri
Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Iringa bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Nduli kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |