Newfoundland and Labrador
Newfoundland and Labrador (/ˈnuːfɨn(d)lænd ən(d) ˈlæbrədɔr/; ufaransa: Terre-Neuve-et-Labrador) ni jimbo iliyoko Kanada. Imepakana na Quebec upande wa magharibi, Bahari Atlantiki upande wa mashariki. Hadi 1949 ilikuwa koloni ya Uingereza.
Newfoundland na Labrador | |||
|
|||
Nchi | ![]() | ||
---|---|---|---|
Mji mkuu | St. John's | ||
Eneo | |||
- Mkoa | 45,212 km² | ||
Tovuti: http://www.gov.nl.ca/ |
Kijiografia jimbo hili lina kisiwa cha Newfoundland penye wakazi wengi zaidi na sehemu ya mashariki ya rasi ya Labrador.
St. John's ni mji mkuu na mji mkubwa. Kunako mwaka wa 2008, idadi ya wakazi ilikuwa 508,990. Una eneo la 45,212 km².
Gavana wa jimbo ni John Cosbie.
Imekuwa jimbo la Kanada tangu 1949.
Lugha rasmi ni Kiingereza.
Miji MikubwaEdit
- St. John's (100,646)
- Corner Brook (20,083
- Grand Falls-Windsor (13,558)
Viungo vya NjeEdit
- Province (jimbo) of Newfoundland and Labrador Official Website
- Newfoundland and Labrador Billboard Ad
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Kanada bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Newfoundland and Labrador kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |