Ngedere
Ngedere wa Bale (Chlorocebus djamdjamensis)
Ngedere wa Bale (Chlorocebus djamdjamensis)
Uainishaji wa kisayansi
Domeni: Eukaryota (Viumbe walio na seli zenye kiini)
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mamalia (Wanyana wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda: Primates (Wanyama wanaofanana kiasi na binadamu)
Nusuoda: Haplorrhini (Wanyama wanaofanana zaidi na kima)
Oda ya chini: Simiiformes (Wanyama kama kima)
Familia ya juu: Cercopithecoidea
Familia: Cercopithecidae (Wanyama walio na mnasaba na kima)
Nusufamilia: Cercopithecinae (Wanyama wanaofanana na kima)
Kabila: Cercopithecini (Kima)
Jenasi: Chlorocebus (Ngedere)
Gray, 1870
Spishi: C. djamdjamensis
Neumann, 1902

Ngedere wa Bale (Chlorocebus djamdjamensis) ni spishi ya kima inayopatikana katika misitu ya mianzi ya Milima ya Bale iliyopo nchini Ethiopia.

Hapo awali ilitengenezwa njia ndogo ya kwenda katika misitu hiyo kwa ajili ya ziara pia.

Kila spishi kama Chlorocebus hapo awali zilikuwa kwenye jenasi Cercopithecus.

Ili kupata maelezo kuhusu masanduku ya uanapwa ya spishi angalia: Wikipedia:WikiProject Mammals/Article templates/doc.