Palma
Palma (awali: Palma de Mallorca) ni mji wa Hispania, makao makuu ya visiwa vya Baleari.
Mwaka 2018 wakazi wake walikuwa 409,661[1], ukiwa wa kumi na mbili nchini kwa wingi wa watu.
Tazama piaEdit
TanbihiEdit
- ↑ Municipal Register of Spain 2018. National Statistics Institute.
Viungo vya njeEdit
Palma de Mallorca travel guide kutoka Wikisafiri
- Official Website Playa de Palma Mallorca
- Palma sightseeing guide
- Palma de Mallorca´s city council
- Official Website for Tourism in Mallorca
Makala hii kuhusu maeneo ya Hispania bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Palma kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |