Peni (kutoka Kiingereza "pen") ni kifaa ambacho kimejazwa wino ambao husaidia katika kuandika mambo mbalimbali.

Peni

Faida hariri

1. Hutusaidia kumbukumbu, kwa mfano ya masomo

2. hutusaidia kuchora mambo muhimu, kwa mfano ramani za majumba

Hasara hariri

1. Hasara mojawapo ya peni ni pamoja na uchafuzi wa mikono na nguo kutokana na uwekaji mbaya.