Rika ni kundi la watu katika jamii ambao wana umri uliokaribiana na hupitia pamoja mivigha au hatua za maisha.

Mifumo ya marika ilikuwa (na pengine bado) ni kawaida katika makabila mbalimbali ya Afrika Mashariki, kwa mfano Wanyakyusa, na Afrika Kusini, kwa mfano Wazulu. Mifumo hii ilitumiwa katika tohara, majeshi na utawala[1][2].

Tanbihi hariri

  1. Keesing, R. M. 1981. Cultural Anthropology: A Contemporary Perspective (2nd ed.). New York: Holt, Rinehart and Winston. ISBN 0-03-046296-7.
  2. Dyson-Hudson, Neville. 1963. "The Karimojong Age System." Ethnology 2: 353-401.
  Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Rika kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.