Riziki Said Lulida

mwanasiasa wa Tanzania
(Elekezwa kutoka Riziki Saidi Lulida)

Riziki Said Lulida (amezaliwa tarehe 31 Julai 1955) ni mbunge wa viti maalumu katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama tawala cha CCM.

Amechaguliwa kuwa mbunge wa Viti maalum vya wanawake kwa miaka 20152020. [2][3]

Tazama pia hariri

Marejeo hariri

  1. ["Mengi kuhusu Riziki Said Lulida". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-18. Iliwekwa mnamo 2010-11-13.  Mengi kuhusu Riziki Said Lulida]
  2. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017
  3. https://peoplepill.com/people/riziki-said-lulida/

Viungo vya nnje hariri