Sabina Wanjiru Chege
Mwana siasa kutoka nchini Kenya-Mwakilishi wa Wanawake wa kaunti ya Murang’a
Sabina Wanjiru Chege (22 Agosti 1978) ni mwanasiasa kutoka Kenya,muigizaji na mtangazaji wa zamani wa radio na Runinga, mwaka 2013 hadi 2022 alihudumu kama mbunge katika kaunti ya Muranga
Sabina Wanjiru Chege
Jinsia | mwanamke |
---|---|
Nchi ya uraia | Kenya |
Jina halisi | Sabina |
Tarehe ya Kuzaliwa | 10 Agosti 1978 |
Lugha zinazozungumzwa, zilizoandikwa au zilizotiwa sahihi | Kiingereza, Kikikuyu, Kiswahili |
Kazi | politician |
Nafasi ilioshikiliwa | Member of the National Assembly, Member of the National Assembly |
Alisoma | Chuo Kikuu cha Nairobi |
Honorific prefix | The Honourable |
Mwanachama wa chama cha siasa | National Alliance Party of Kenya |
Kabila | Wagikuyu |
Described at URL | http://www.parliament.go.ke/the-national-assembly/members/item/3950-hon-chege-maitu-sabina-wanjiru |