Sam Mangwana

Mwanamiziki wa Kongo

Sam Mangwana (amezaliwa 21 Februari 1945) ni mwanamuziki kutoka nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Sam Mangwana
Amezaliwa21 Februari 1945 (1945-02-21) (umri 79)
Kinshasa, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Kazi yakeMsanii wa rekodi
Miaka ya kazi1963-hadi sasa
Ameshirikiana naTPOK Jazz
Festival des Maquisards
African All Stars
African Fiesta
African Fiesta National
Afrisa International

Sam Mangwana alizaliwa na wahamiaji nchini humo, huku baba akiwa mtu wa Zimbabwe na mama akiwa mtu wa Angola. Sam ni kiongozi wa bendi za Festival des Maquisards na African All Stars.

Awali alikuwa mwanachama wa bendi ya marehemu François Luambo Makiadi TPOK Jazz, na bendi za Tabu Ley Rochereau - African Fiesta, African Fiesta National na Afrisa International.[1]

Uanachama katika bendi hariri

Diskografia hariri

Akiwa na Festival des Maquisards
  • Waka Waka, 1978
  • Georgette Eckins, 1979
  • Matinda, 1979
  • Affaire Disco, 1981
  • Est-ce Que Tu Moyens?, 1981
  • Cooperation, 1982
  • Affaire Video, 1982
  • N'Simba Eli, 1982
  • Bonne Annee, 1983
  • In Nairobi, 1984
  • Aladji, 1987
  • For Ever, 1989
  • Lukolo, 1989
  • Capita General, 1990
  • Megamix, July 1990
  • Rumba Music, 1993
  • No Me Digas No, 1995
  • Galo Negro, 1998
  • Sam Mangwana Sings Dino Vangu, 2000
  • Volume 1 Bilinga Linga 1968/1969, June 2000
  • Volume 2 Eyebana 1980/1984, June 2000
  • Very Best of 2001, March 2001
  • Cantos de Esperanca, April 2003
  • Lubamba, 2016
Akiwa na TPOK Jazz
Wasanii aliowasaidia

Marejeo hariri

  1. Harris, Craig. Sam Mangwana: Artist Biography by Craig Harris. AllMusic.com. Iliwekwa mnamo 12 April 2014.

Viungo vya Nje hariri