Santilya ni kata ya Wilaya ya Mbeya Vijijini katika Mkoa wa Mbeya, Tanzania.

Kata ya Santilya
Nchi Tanzania
Mkoa Mbeya
Wilaya Mbeya Vijijini
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 17,578

Katika sensa iliyofanyika mwaka 2022 wakazi walihesabika kuwa 17,624 [1]. Wakati wa wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 17,578 [2] walioishi humo.

Santilya ni kitovu cha Umalila na wenyeji asilia ni hasa Wamalila. Katika mazingira ya Santilya Jeshi la Wokovu lina wafuasi wengi kiasi. Kuna shule ya sekondari.

Msimbo wa posta ni 53211.

Marejeo hariri

  1. https://www.nbs.go.tz
  2. Sensa ya 2012, Mbeya - Mbeya DC. Jalada kutoka ya awali juu ya 2016-03-03. Iliwekwa mnamo 2017-03-12.
  Kata za Wilaya ya Mbeya VijijiniMkoa wa Mbeya - Tanzania  

Bonde la Songwe | Igale | Igoma | Ihango | Ijombe | Ikukwa | Ilembo | Ilungu | Inyala | Isuto | Itawa | Itewe | Iwiji | Iwindi | Iyunga Mapinduzi | Izyira | Lwanjilo | Maendeleo | Mjele | Masoko | Mshewe | Nsalala | Santilya | Shizuvi | Swaya | Tembela | Ulenje | Utengule/Usongwe


  Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Mbeya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Santilya kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.