Sara Ramadhani
Sara Ramadhani (amezaliwa tarehe 30 Desemba 1987) ni Mtanzania mkimbiaji wa mbio ndefu zijulikanazo kama marathoni. Alishiriki shindano la Marathoni ya wanawake ya mwaka 2016 ambapo alimaliza umbali wa 121 kwa muda wa 3:00:03 [1]
Sara Ramadhani | |
---|---|
Amezaliwa | 30 Desemba 1987 |
Tanbihi hariri
- ↑ Sara Ramadhani. Rio 2016. Jalada kutoka ya awali juu ya 6 August 2016. Iliwekwa mnamo 15 August 2016.
Makala hii kuhusu wasifu wa Mtanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |