Sarah Nnodim

Mwanasoka wa Nigeria

Sarah Nnodim (alizaliwa 25 Desemba 1995) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa Nigeria ambae anacheza katika klabu ya Nasarawa Amazons nchini Nigeria pamoja na timu ya taifa ya Nigeria. Alishiriki Kombe la Dunia la FIFA chini ya umri wa miaka 20 mwaka 2014.[1][2]

Sarah Nnodim
Amezaliwa 25 Desemba 1995
Nigeria
Nchi Nigeria
Kazi yake mchezaji wa mpira wa miguu

Marejeo hariri

  1. "List of Players - 2015 FIFA Women's World Cup", Fédération Internationale de Football Association. Retrieved on 2 July 2015. Archived from the original on 2016-04-10. 
  2. "Profile". FIFA.com. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 10 June 2015. Iliwekwa mnamo 20 June 2015.  Unknown parameter |url-status= ignored (help); More than one of |archiveurl= na |archive-url= specified (help); More than one of |archivedate= na |archive-date= specified (help); Check date values in: |archivedate=, |accessdate= (help)
  Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Sarah Nnodim kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.