Sello Maake Ka-Ncube

Makala hii kuhusu "Sello Maake Ka-Ncube" ni fupi mno. Inahitaji kupanuliwa mapema.

Sello Maake kaNcube (amezaliwa 12 Machi 1960) ni mwigizaji wa Afrika Kusini. Amefanya kazi katika ardhi yake ya asili pamoja na Marekani, Uingereza, Kanada na Ulaya.

Maisha ya awali hariri

Maake kaNcube alizaliwa Orlando Mashariki, Soweto, Afrika Kusini. Baadaye alihamia Atteridgeville, Pretoria, ambako alikulia. Alibadilisha jina lake la ukoo na kuwa Maake kaNcube kwa heshima ya baba yake wa kambo na baba yake mzazi. Ana shahada ya Uzamili katika uandishi wa hati kutoka Chuo Kikuu cha Leeds .

Marejeo hariri