Staceyann Chin

mshairi

Staceyann Chin (alizaliwa Desemba 25, 1972) ni mshairi, msanii wa kuigiza na mwanaharakati wa kisiasa na haki za LGBT wa nchini Marekani

Staceyann Chin

Maisha binafsi hariri

Chin alizaliwa Jamaica lakini kwa sasa anaishi New York City, Brooklyn . Ana asili ya Kichina na Kiafrika. Alitangaza mnamo 2011 kwamba alikuwa na ujauzito wa mtoto wake wa kwanza, na akajifungua binti Zuri mnamo Januari 2012.

Marejeo hariri

  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Staceyann Chin kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.