Stina Blackstenius

mchezaji wa mpira wa miguu wa chama cha sweden

Emma Stina Blackstenius (alizaliwa Februari 5, 1996) ni mchezaji wa mpira wa miguu kutoka Uswidi anayecheza kama mshambuliaji katika klabu ya BK Häcken na pia anacheza katika timu ya taifa ya Uswidi.

Stina Blackstenius akiwa na Uswidi[1]

Marejeo hariri

  1. "Stina Blackstenius", Wikipedia (kwa Kiingereza), 2021-11-25, iliwekwa mnamo 2021-11-27