Sumve ni kata ya Wilaya ya Kwimba katika Mkoa wa Mwanza, Tanzania. Msimbo wa posta ni 33814.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi wa kata walihesabiwa kuwa 19,195 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 16,436 waishio humo.[2]

Jina linatokana na kijiji kimoja kiitwacho Sumve ambapo miaka mingi ya nyuma, kabla ya wamisionari kuanza kuishi katika kijiji, palikuwa na watu wafahamikao kama Wasomva. Hao walitokea maeneo ya Tabora na kazi yao ilikuwa kutengeneza majembe, mapanga na kuyauza, lakini baada ya wamisionari kuja wakayaacha maeneo hayo na kurudi kwao Tabora.

Marejeo hariri

  Kata za Wilaya ya Kwimba - Mkoa wa Mwanza - Tanzania  

Bugando | Bungulwa | Bupamwa | Fukalo | Hungumalwa | Igongwa | Ilula | Iseni | Kikubiji | Lyoma | Maligisu | Malya | Mantare | Mhande | Mwabomba | Mwagi | Mwakilyambiti | Mwamala | Mwandu | Mwang'halanga | Mwankulwe | Ng'hundi | Ngudu | Ngulla | Nkalalo | Nyambiti | Nyamilama | Shilembo | Sumve | Walla


  Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Mwanza bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Sumve kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.