Mkoa wa Mwanza

Mkoa wa Tanzania


Mkoa wa Mwanza ni kati ya mikoa 31 ya Tanzania, wenye postikodi namba 33000. Umepakana na Geita upande wa magharibi, Shinyanga na Simiyu upande wa kusini na Mara upande wa mashariki. Ziwa la Viktoria Nyanza liko kaskazini.

Mkoa wa Mwanza
Mahali paMkoa wa Mwanza
Mahali paMkoa wa Mwanza
Mahali pa Mkoa wa Mwanza katika Tanzania
Majiranukta: 2°45′S 32°45′E / 2.750°S 32.750°E / -2.750; 32.750
Nchi Tanzania
Wilaya 8
Mji mkuu Mwanza
Serikali
 - Mkuu wa Mkoa Abas Kandoro
Eneo
 - Jumla 19,592 km²
Idadi ya wakazi (2002)
 - Wakazi kwa ujumla 3,699,872
Tovuti:  http://www.mwanza.go.tz/
Mwanza

Makao makuu ya mkoa yapo Mwanza mjini.

Mkoa una wakazi 3,699,872 kadiri ya sensa ya mwaka 2022 [1].

Wilaya Edit

Kabla ya kumegwa na kuzaa mkoa mpya wa Geita, mkoa wa Mwanza ulikuwa na wakazi 2,942,148 (sensa ya mwaka 2002) katika wilaya 8 ukiwa na eneo la 19,592 km2.

Wilaya ndizo Ukerewe, Magu, Sengerema, Geita, Misungwi, Kwimba, Nyamaganga na Ilemela. Jiji la Mwanza ndani yake lina wilaya za Nyamagana na Ilemela.

Ramani (kabla ya 2012) Wilaya au manisipaa Wakazi (2002) Tarafa Kata Kijiji Eneo km²
 
Wilaya za Mkoa wa Mwanza
Wilaya ya Ilemela 265,911
Wilaya ya Kwimba 316,180
Wilaya ya Magu 416,113
Wilaya ya Misungwi 257,155
Wilaya ya Nyamagana 210,735
Wilaya ya Sengerema 501,915
Wilaya ya Ukerewe 261,944
Jumla 2,942,148 19,592
Mkoa wa Mwanza una Halmashauri za Wilaya tatu sita ambazo ni Geita, Sengerema, Magu, Misungwi,
Kwimba na Ukerewe na Halmashauri ya Jiji la Mwanza inayohudumia wilaya za Nyamagana na Ilemela.
Marejeo: Mkoa wa Mwanza

Wakazi Edit

Makabila makubwa ya Mwanza ndio Wasukuma na Wazinza upande wa bara, halafu Wakerewe na Wakara visiwani.

Majimbo ya bunge Edit

Wakati wa uchaguzi mkuu wa Tanzania mwaka 2015 mkoa huu ulikuwa na majimbo ya uchaguzi yafuatayo:

Tazama pia Edit

 
Mwanza

Tanbihi Edit

Viungo vya nje Edit


  Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Mwanza bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Mwanza kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.