Sura
Sura ni umbile la juu la kama vile la mtu au mnyama lililopo usoni, namna au jinsi ya kitu au ni hali ya mtu inayojitokeza usoni.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/e/e7/Boy_Face_from_Venezuela.jpg/220px-Boy_Face_from_Venezuela.jpg)
Kila mmoja ana sura yake maalumu, ambayo mara nyingi inasema juu ya tabia pia.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |