Umbile (kwa wingi: Maumbile) ni neno linaloendana na neno "umbo" na kutokana na kitenzi "kuumba". Umbile ni hali inayoelezea kitu fulani kilivyo.

Mbwa huyu ni mnene na mfupi.
Umbile la nyoka

Katika kuelezea kitu hicho kila mtu huwa na mtazamo wake, yaani: kuna atakayesema "kitu kile ni kikubwa", mwingine atasema "kitu kile ni kidogo" na mawazo mengine tofautitofauti, kama vile "kitu kile ni kizuri", "kitu kile hakifai", n.k.

Mfano: Tukizungumzia umbile la mbwa tutasema:

Pia:

Mfano mwingine: Tukizungumzia kuhusu umbile la nyoka tutasema:

Pia:

Sayansi mbalimbali zinachunguza umbile upande mmoja na kwa vigezo vyake, falsafa upande mwingine kwa kutumia hasa hoja za mantiki n.k.