Tecno Mobile ni kampuni ya simu ya mkononi ambayo makao makuu yake yanapatikana Hong Kong, China.

Kampuni hiyo ya simu imeanzishwa mwaka 2006. Tecno ililenga biashara yake juu ya soko la Afrika na Asia Kusini. Hata hivyo, baada ya utafiti wa soko uliofanywa katika Asia ya Kusini-Mashariki, Afrika na Amerika ya Kilatini, kampuni hiyo iligundua kwamba Afrika ilikuwa eneo lenye faida zaidi. Matokeo yake, mwaka 2008, alisimama kufanya biashara huko Asia ili kukomalia biashara Afrika.

Baadaye, mwaka 2016, Tecno aliingia kwenye soko la Mashariki ya kati baada ya kupata soko zuri katika bara la Afrika, na kisha Asia ya Kusini mwaka 2017.


Hapa kuna orodha ya baadhi ya simu za Tecno: hariri

  • Tecno Camon 17
  • Tecno Camon 17P
  • Tecno Camon 17 Pro
  • Tecno Camon 18
  • Tecno Camon 18P
  • Tecno Camon 18 Premier
  • Tecno Phantom X
  • Tecno Phantom 10
  • Tecno Spark 7
  • Tecno Spark 7P
  • Tecno Spark 7T
  • Tecno Spark Go 2021
  • Tecno Spark 8
  • Tecno Pouvoir 4
  • Tecno Pouvoir 4 Pro
  • Tecno Pouvoir 5
  • Tecno Pouvoir 6
  • Tecno Pouvoir 7
  • Tecno Pop 5
  • Tecno Pop 5C

Hii ni orodha inayoweza kubadilika na inaweza kuongezewa simu mpya kadri zinavyotolewa sokoni.

Marejeo hariri

  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Tecno Mobile kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.